ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, April 21, 2019

MLIPUKO SRI LANKA: WATU 290 WAUAWA, 500 WAJERUHIWA BAADA YA MAKANISA NA HOTELI KULENGWA.

Idadi ya watu waliouawa kwenye mashambulio ya mabomu kwenye makanisa na hoteli nchin Sri Lanka imepaa na kufikia 290.
Milipuko nane iliripotiwa jana Jumapili katika mashambulio yaliyolenga makanisa matatu mjini Kochchikade, Negombo na Batticaloa ambayo yalisahambuliwa wakati wa ibada ya Pasaka.
Hoteli za The Shangri La, Cinnamon Grand na Kingsbury ambazo zipo mjini Colombo, pia zilishambuliwa.
Watu wengine zaidi ya 500, wamejeruhiwa na kuna hofu idadi ya vifo ikaendelea kuongezeka.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.