ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, October 22, 2018

LEGAL SERVICES FACILITY YASHIRIKI KUADHIMISHA WIKI YA ASASI ZA KIRAIA DODOMA.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt John Jingu ambaye pia ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa wiki ya Azaki ya kiraia akipata maelezo juu  kutoka kwa Meneja Biashara na Mawasiliano wa Legal Service Facilty (LSF), Jane Matinde alipotembelea banda la maondesho kuona kazi mbalimbali zinazofanywa na watoa huduma wa msaada wa kisheria chini ya ufadhili wa LSF.

Meneja Biashara na Mawasiliano wa Legal Service Facilty (LSF), Jane Matinde akimshukuru Raisi wa Foundation for Civil Society, Dr Tenga wakati alipotembele banda la Legal Services Facility (LSF) wakati wa ufunguzi wa wiki ya Azaki Tanzania. akishuhudia, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt John Jingu

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt John Jingu ambaye pia ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa wiki ya Azaki ya kiraia akisalimiana na moja ya watoa huduma za msaada wa kisheria (paralegal) wa mkoa wa Dodoma bwana Aggrey Masaga Wakati alipotembelea banda la maondesho kuona kazi mbalimbali zinazofanywa na watoa huduma wa msaada wa kisheria chini ya ufadhili wa LSF. Akishuhudia ni Meneja Biashara na Mawasiliano wa Legal Service Facilty (LSF), Jane Matinde

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.