ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 4, 2018

SHERIA MPYA YA JINAI RWANDA YAPOKELEWA KWA HISIA TOFAUTI.

Mabadiliko yaliyofanywa kwenye sheria ya jinai nchini Rwanda yamepokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa wadau wake katika jamii.

Mabadiliko hayo ni pamoja marufuku kwa waandishi wa habari kuchora vibonzo vinavyowakashifu viongozi wa ngazi za juu akiwemo rais wa nchi .

Waandishi wa habari wanahisi hilo linaloweza kusababisha wao kuwa matatani kwa njia rahisi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.