ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 19, 2018

VIDEO:- MWANAFUNZI NA MWALIMU MAJERUHI WA RADI GEITA WASIMULIA KILICHOTOKEA



GSENGOtV

MWANAHABARI wetu Albert G. Sengo tayari amesharejea jijini Mwanza kutokea mkoani Geita ambako huko Kazi na Ngoma iliweka Kambi ya Siku Moja tu (JANA) kuripoti taarifa ya ajali ya radi iliyouwa wanafunzi 6 na majeruhi kadhaa. 

WANAFUNZI WALIOFARIKI 

1. YUSRA AUNI 
2. GLORY GILBERT
3. ABDUL BUNDALA
4. CHRISTIAN ORICK
5. JACKLINE JOSEPHAT
6. WILLIAM EMIL

LEO ni nafasi ya kumalizia yaliyojiri jana baada ya mazishi ya baadhi ya watoto, hali ya majeruhi inaendeleaje, kipi kinachoendelea leo na vipi hatua gani zilizochukuliwa kwa Kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa ili watoto warejee na masomo bila woga.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.