Kituo kikubwa cha mabasi yanayotoka mikoa ya kusini (Lindi, Mtwara na Ruvuma) ambacho pia ni hoteli inayofahamika kwa jina la Starcom kilichopo Nangurukuru wilaya ya Kilwa, mkoa wa Lindi kimeteketea kwa moto.
Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika. Habari zaidi kuwajia wakati juhudi za kupata taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo zikiendelea.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.