Kituo kikubwa cha mabasi yanayotoka mikoa ya kusini (Lindi, Mtwara na Ruvuma) ambacho pia ni hoteli inayofahamika kwa jina la Starcom kilichopo Nangurukuru wilaya ya Kilwa, mkoa wa Lindi kimeteketea kwa moto.
Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika. Habari zaidi kuwajia wakati juhudi za kupata taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo zikiendelea.
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.