ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, October 6, 2018

BREAKING NEWS: KITUO CHA BASI NA HOTELI YA STARCOM NANGURUKURU KINATEKETEA KWA MOTO.

Kituo kikubwa cha mabasi yanayotoka mikoa ya kusini (Lindi, Mtwara na Ruvuma) ambacho pia ni hoteli inayofahamika kwa jina la Starcom kilichopo Nangurukuru wilaya ya Kilwa, mkoa wa Lindi kimeteketea kwa moto.

Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika. 


Habari zaidi kuwajia wakati juhudi za kupata taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo zikiendelea.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.