Kituo kikubwa cha mabasi yanayotoka mikoa ya kusini (Lindi, Mtwara na Ruvuma) ambacho pia ni hoteli inayofahamika kwa jina la Starcom kilichopo Nangurukuru wilaya ya Kilwa, mkoa wa Lindi kimeteketea kwa moto.
Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika. Habari zaidi kuwajia wakati juhudi za kupata taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo zikiendelea.
Alhamis ya Kitajiri na Meridianbet Imefika
-
NI siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu
Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka
o...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.