ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 6, 2018

KIVULINI YAZIDI KUIMARISHA MKAKATI WA KUTOKOMEZA ZERO NA MIMBA BWIRU GIRLS



GSENGOtV
Shule kongwe ya sekondari ya wasichana ya Bwiru,Jijini Mwanza imeanzisha mkakati maalumu wa kukuza kiwango cha taaluma na ufaulu na kupambana na matukio ya mimba na division ziro  kwa wanafunzi. 

Licha ya kuwaasa na kuwapa mbinu nini chakufanya wakiwa shuleni na wawapo nje ya shule, Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea haki za wanawake na watoto la KIVULINI, Yasin Ally amefunguka siri ya matoke chanya yaliyojiri kwa matokeo kidato cha sita mtihani wa 2017-2018.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.