ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 2, 2018

WANAFUNZI WAIBUKIA KWENYE MKUTANO WA MBUNE WA BUKOMBE.

Mbunge wa jimbo la Bukombe mkoani Geita, Mhe.Doto Mashaka Biteko (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Madini ameendelea na ziara yake katika Kata mbalimbali jimboni humo ili kuwaeleza wananchi utekelezaji wa ahadi zake za maendeleo pamoja na serikali ya awamu ya tano.

Akiwa katika Kata ya Butinzya jana, wanafunzi wa shule ya sekondari katika Kata hiyo waliibuka kwenye mkutano wake wa hadhara na kumuuliza maswali kuhusu changamoto zinazoikabili shule yao na namna atakavyowasaidia kuzitatua. 

Na George Binagi, Bukombe

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.