ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 25, 2018

UBALOZI WA INDIA WAFUNGUA FURSA ZA UWEKEZAJI MWANZA



NA ZEPHANIA MANDIA/GSENGOtV

Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhe. John Mongella amesema kuwa bado milango ya fursa za uwekezaji iko wazi kwa wadau mbalimbali ndani na nje ya mkoa wake na nchi kwa ujumla hivyo ni vyema sasa kwa wafanyabiashara kutumia vyema mwanya huo kwaajili ya mapinduzi ya kimaendeleo.

Mhe. Mongella ametoa rai hiyo mwishoni mwa wiki wakati akifungua mkutano baina ya Balozi wa India nchini Tanzania na wafanyabiashara mkoani Mwanza kupitia taasisi ya wafanyabiashara wa kilimo na viwanda TCCIA uliofanyika katika ukumbi wa Rock City Mall Jijini hapa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.