
Mwanamuziki wa Uganda na Mbunge wa Jimbo la Kyaddondo Mashariki, Robert Kyagulanyi maarufu kwa jina la Bobi Wine ambaye amekuwa akizuiliwa kwa karibu wiki mbili nchini humo ameachiliwa huru kwa dhamana na Mahakama Kuu mjini Gulu.
Tupe maoni yako

Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment