ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 6, 2018

WANANCHI WAJITOLEA KULIMA BARABARA


WAKAZI  WA MTAA WA IBISABAGENI KATA YA IBISABAGENI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA WAMEAMUA KUJITOLEA KULIMA NA KUFUNGUA BARABARA IKIWA NI KATIKA JUHUDI ZA KUJILETEA MAENDELEA NA KUONDOA KERO ZA MAWASILIANO KATIKA  MTAA HUO

Akizungumza wakati wa zoezi hilo leo lililofanyika mapema asubuhi mwenyekiti wa mtaa wa IBISA BAGENI MH STANNRY KAKERE amesema kuwa kupitia mikutano mbali mbali wameadhimia kulima barabara ili kujiletea maendeleo katika  mtaa wao.

Pamoja na hayo mwenyekiti huyo wamewashauri baadi ya viongozi kusimamia maendeleo katika maeneo yao hasa katika swala la ulinzi na usalama na wananchi na atakayeshindwa  hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake.

Kwa upane wawao  wananchi wa kata hiyo wao wamesema kufunguliwa kwa barabara  hizo kutachochea maendeleo yao  na kusaidia kuondoa kero ya kuzunguka umbali mrefu kwenda hospitali teule ya MISSION iliyopo karibu kata jirani ya MISSION.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.