ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 16, 2018

WAISLAMU NCHINI RWANDA WAPINGA VIKALI HATUA YA SERIKALI KUPIGA MARUFUKU ADHANA, WASEMA NI NJAMA ZA KUFUNGA MISIKITI.



Kwa mara nyingine tena Rwanda imepiga marufuku ya matumizi ya dhana kwenye misikiti ya Waislamu nchini humo.
Hatua hiyo imekuja ikiwa zimepita wiki mbili tu tangu mamlaka jijini la Kigali kuyafunga makanisa zaidi ya 700 kwa madai ya kuzuia kelele zilizotokana na vipaza sauti wakati wa ibada.

Moja ya misikiti mjini Kigali, Rwanda ambayo inatishiwa kufungwa

Kuzuiliwa kwa adhana nchini Rwanda kumepokelewa kwa hisia tofauti na jamii ya Waislamu nchini humo, ambapo wafuasi wa dini hiyo mbali na kushtushwa na hatua hiyo wameitaja kuwa ni mbinu ya kutaka pia kufunga misikiti nchini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.