ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 12, 2018

MASAUNI AFANYA MKUTANO WA HADHARA KILWA KUSINI ASISITIZA ADHMA YA SERIKALI KUKOMESHA UHALIFU NCHINI

 Naibu   Waziri   wa   Mambo   ya   Ndani   ya   Nchi,   Mhandisi   Hamad   Masauni,   akizungumza   nawananchi wa Wilaya ya Kilwa Kusini(hawapo pichani), wakati wa mkutano wa hadhara ambapoaliwaasa wananchi hao kushirikiana na vyombo vya Ulinzi na Usalama kufichua wahalifu ikiwani   kuisaidia   serikali   katika   adhma   ya   kukomesha   matendo   ya   uhalifu   nchini.Mkutano   huoumefanyika  katika   Viwanja   vya  Maalim Seif,Kilwa Kusini. Picha   na   Wizara ya   Mambo   ya Ndani ya Nchi 

 Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi, Christopher Ngubiagai akizungumza na wananchi waWilaya ya Kilwa Kusini(hawapo pichani), wakati wa ziara ya Naibu Waziri Mambo ya Ndani yaNchi,Mhandisi   Hamad   Masauni.Mkutano   huo   umefanyika   katika   Viwanja   vya   MaalimSeif,Kilwa Kusini.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Mwananchi wa Kilwa Kusini, Said Saleh, akimuuliza swali Naibu Waziri wa Mambo ya Ndaniya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni(hayupo pichani), kuhusu kukamatwa na polisi  kwa nduguzao wanaotuhumiwa kwa uhalifu.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Picha na Wizaraya Mambo ya Ndani ya Nchi 
 Mwananchi wa Kilwa Kusini, Rehema Said , akimuuliza swali Naibu Waziri wa Mambo yaNdani   ya   Nchi,Mhandisi   Hamad   Masauni(hayupo   pichani),   kuhusu   uhalifu   wanaofanyiwawanawake   ikiwemo   kubakwa   na   kuporwa   pesa   na   mali   na   wahalifu. Picha   na   Wizara   yaMambo ya Ndani ya Nchi
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na baadhiya   wananchi   wa   Wilaya   ya   Kilwa   Kusini   baada   ya  kumaliza  mkutano   wa   hadhara  ambapoaliwaasa wananchi hao kushirikiana na vyombo vya Ulinzi na Usalama kufichua wahalifu ikiwani kuisaidia serikali katika adhma ya kukomesha matendo ya uhalifu nchini. Picha na Wizara yaMambo ya Ndani ya Nchi
Wananchi   wa   Wilaya   ya   Kilwa   wakimsikilza   Naibu   Waziri   wa   Mambo   ya   Ndani   ya   Nchi,Mhandisi   Hamad   Masauni(hayupo   pichani),   akizungumza   wakati   wa   mkutano   wa   hadharaambapo   aliwaasa   wananchi   hao   kushirikiana   na   vyombo   vya   Ulinzi   na   Usalama   kufichuawahalifu   ikiwa   ni   kuisaidia   serikali   katika   adhma   ya   kukomesha   matendo   ya   uhalifunchini.Mkutano   huo   umefanyika   katika   Viwanja   vya   Maalim   Seif,Kilwa   Kusini. Picha   naWizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA   SERIKALI - WIZARA YAMAMBO YA NDANI YA NCH

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.