LIVE: Rais Magufuli Azindua Kiwanda cha Sigara, Morogoro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, leo machi 15 amezindua kiwanda cha Sigara mkoani Morogoro. Katika uzinduzi huo ulioambatana na burudani kutoka kwa mwanamuziki Afande Sele, ambaye awali alikuwa mwanachama wa ACT- Wazalendo, kabla ya kujivua uanachama na kuhamia CCM, tukio ambalo alilifanya mbele ya Rais Magufuli katika hafla hiyo.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.