Wanachama wa Chama cha demokrasia na Maendeloa CHADEMA, wamezuiwa kwa dakika kadhaa na polisi waliokuwa wakisimamia amani katika kampeni za uchaguzi, Kinondoni.
Simba yashindwa kufurukuta fainali
-
Simba ilijipa matumaini kwa bao la mapema la Joshua Mutale dakika ya 17,
lakini kasi ya upande wa Tanzania ilidhibitiwa baada ya beki Yusuf Kagoma
kutolewa...
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.