ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, February 12, 2018

NEWCASTLE YAWANYOA BILA MAJI MANCHESTER UNITED 1-0.


Meneja wa Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa klabu yake haingefunga bao hata kama ingecheza kwa saa kumi baada ya upande wake kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Newcastle.
Bao la dakika ya 65 la Matt Ritchie lilisababisha The Red Devils kushindwa kwa mara ya tano msimu huu.
Sasa Manchestrer United wako nyuma ya viongozi Manchester City kwa pointi 16.
"Miungu yao ya kanndanda ilikuwa wazi nao," aliseam Mourinho. "Haingewezekana leo."
Meneja huyo wa zamani wa Chelsea alisema kuwa Newcastle walicheza kama wanyama kushinda nyumbani kwa mara ya kwanza tangu Oktoba.

Southampton vs Liverpool (0-2) - All Goals & Highlights 11/02/2018 HD




Barcelona vs Getafe 0-0 - Extended Highlights - La Liga 11/02/2018 HD

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.