ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 24, 2018

VIDEO:- RAIS MAGUFULI ATOA MSIMAMO WA SERIKALI YAKE JUU YA UWANJA WA NDEGE MWANZA


NA.ZEPHANIA MANDIA WA G.SENGO TV
Rais DKT.JOHN MAGUFULI amesema kuwa Serikali imedhamiria kujenga jengo la kisasa la abiria pamoja na uzio katika uwanja wa ndege wa mwanza ili kuufanya uwanja huo kuwa na hadhi ya kimataifa.

DK.MAGUFULI ameyasema hayo jijini Mwanza mara baada ya kurejea nchini akitokea UGANDA kuhudhuria mkutano wa wakuu wa jumuiya ya afrika mashariki ambapo  wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa Mwanza  wamemuomba afanikishe ujenzi wa jengo la abiria ili kuondoa adha iliyopo kutokana na upanuzi wa uwanja huo unaoendelea hivi sasa kutohusisha ujenzi wa jengo hilo  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.