ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 26, 2018

LUKUVI AFUNGUKA KILE KITAKACHO WAKUTA WAMILIKI ARDHI WAKAIDI MKOANI MWANZA



Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi William Lukuvi ametangaza kiama kwa wamiliki ardhi ambao hawajalipa kodi ya pango la ardhi na kutoa muda hadi kufikia APRIL 30 mwaka huu kuhakikisha kuwa wanalipa kodi hiyo ambayo ipo kisheria na watakaoshindwa watafikishwa mahakamani ifikapo mwezi MAY mwaka huu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.