ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 20, 2017

TFDA WANASA KAMPUNI LINALOZALISHA BIDHAA FEKI ZA KAMPUNI NYINGINE KWAAJILI YA KUHARIBU SOKO



Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA Kanda ya Kaskazini imekifungia kwa muda kiwanda cha GDT Company Factory Limited kinachozalisha vinywaji vya High Life Gin na Banana kwa kosa la kuzalisha bidhaa chini ya kiwango.

Pia kiwanda hicho kimekutwa na kosa la kujipatia faida kwa njia ya wizi kwa kuzalisha kinywaji aina ya #Shujaa ambacho ni mali ya kampuni nyingine, kinywaji ambacho kwa siku za hivi karibuni kimekuwa kikilalamikiwa na wateja wake kwamba kinaumiza kichwa.... Suala ambalo linasadikik kuwa limekuja mara baada ya mchezo huo mchafu. #HabariZilizoTikisa

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.