ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 30, 2017

WANAFUNZI WANAOSOMEA UDAKTARI CHUO CHA SAYANSI YA AFYA BUGANDO WAJA NA HILI ZURI KUADHIMISHA MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI DUNIANI



Kuelekea siku ya maadhimisho ya Ugonjwa wa ukimwi Duniani wanafunzi wa chuo kikuu cha sayansi ya afya na tiba cha Bugando (CUHAS) mkoani Mwanza kimejitolea kutoa huduma ya upimaji wa virusi vya Ukimwi bure pamoja na kutoa ushauri nasaha ili kuongeza hamasa kwa wananchi kupima afya zao.

Timon Steven.
Akizungumza chuoni hapo rais wa wananfunzi wa chuo kikuu  cha sayansi ya tiba cha Bugando (CUHAS ) Mkoani Mwanza Timon Steven anaeleza lengo la kutoa huduma ya upimaji wa virusi siku ya Ukimwi.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.