Baada ya kuhojiwa kwa siku mbili mfululizo katika kituo cha polisi
Morogoro Mbunge wa Tarime vijijini kupitia Chadema John Heche Novemba 21
ameachiwa kwa dhamana hadi desemba 4 atakapotakiwa kuripoti.
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
0 comments:
Post a Comment