Baada ya kuhojiwa kwa siku mbili mfululizo katika kituo cha polisi
Morogoro Mbunge wa Tarime vijijini kupitia Chadema John Heche Novemba 21
ameachiwa kwa dhamana hadi desemba 4 atakapotakiwa kuripoti.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment