Ni kuhusu tuhuma zinazomkabili za kumuua msanii mwenzake, marehemu Steven Kanumba ambaye pia alikuwa ni mpenzi wake, April 6 mwaka 2012.
Hatua hiyo imekuja baada ya upande wa Jamhuri kufunga ushahidi wao kwa kuita mashahidi wanne.
Kesi imeahirishwa hadi saa tano kamili ambapo Lulu ataanza kujitetea.
Tupe maoni yako

0 comments:
Post a Comment