Ripoti zinasema mkutano huo ambao ulimaliza kazi zake usiku wa kuamkia leo, ulihitimishwa kwa kutangazwa habari za mafanikio ya kuzuia na kutibu maradhi ya Ukimwi.
Washiriki katika mkutano huo wanasema dawa hiyo mpya ya Ukimwi imetengenezwa kwa namna ambayo inapambana na virusi vya HIV na kuvifubaza, na kwamba mafanikio haya ni habari nzuri kwa watu wenye virusi hivyo au wale wenye ndugu na jaa walioathirika.
Ukimwi umeua zaidi ya watu milioni 35 duniani

Nchi ya Swaziland barani Afrika ndiyo inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya waathirika wa virusi vya Ukimwi na unaripotiwa kuwa, mtu mmoja kati ya kila watu watatu ameambukizwa virusi hivyo
Zaidi ya watu milioni 35 wamepotea maisha tangu vurusi vya HIV na Ukimwi ulipoeneza duniani katika miaka ya 1980.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.