ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 12, 2017

SERIKALI YAOMBWA KUTAFUTA NJIA MBADALA YA USAFIRI KWA WANAFUNZI.


BAADHI ya wazazi na wanafunzi wanaosoma shule za msingi za serikali katika kata za Upanga na Kivukoni jijini Dar es S alaam wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ya usafiri kwa wanafunzi hao kufuatia katazo la kuzuia huduma ya usafiri iliyokuwa ikitolewa na kikundi cha KIWAKIDA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.