Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia kituo cha mazao na misitu cha maliasili kilichopo kijiji cha Jaribu mpakani mwa wilaya ya Mkuranga na Kibiti na kukichoma moto kisha kuwaua watu watatu akiwemo mpelelezi mkuu wa wilaya ya Kibiti mkoani pwani Afande Peter Kubezya. ITV TANZANIA
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.