Aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwanamke wa kwanza hapa nchini (Uchaguzi 2005) kupitia chama cha APPT-Maendeleo, Dr. Anna Claudia Senkoro ameaga dunia.
Inadaiwa aliugua ghafla usiku wa kuamkia leo na amefariki baada ya kukimbizwa hospitali asubuhi ya leo.
Msiba upo nyumbani kwake, Tabata Segerea jijini Dar.
Taarifa zaidi zitafuatia...
====
Matokeo ya Urais 2005)
Jakaya Kikwete (CCM)
9,123,952
80.28%
Ibrahim Lipumba (CUF)
1,327,125
11.68%
Freeman Mbowe (CHADEMA)
668,756
5.88%
Augustine Mrema (TLP)
84,901
0.75%
Sengondo Mvungi (NCCR-Mageuzi)
55,819
0.49%
Christopher Mtikila (DP)
31,083
0.27%
Emmanuel Makaidi (NLD)
21,574
0.19%
Anna Senkoro (PPT-Maendeleo)
18,783
0.17%
Leonard Shayo (MAKINI)
17,070
0.15%
Paul Kyara (SAU)
16,414
0.14%
Bwana Ametoa Bwana ametwa
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.