Skip to main content

MVUA KUBWA YAHARIBU MAKAZI YA WATU 700 UKEREWE MKOANI MWANZA.

 Watu zaidi ya 700 wamepoteza makazi yao baada ya mvua kubwa iliyoambatana na upepo kubomoa makazi yao huko wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.

Paa za makanisa na misikiti pia yameezuliwa nayo miti na mazao imesombwa na maji huku mifugo ikithiriwa yakiwemo makazi yao.

Wito umetolewa kwa watu binafsi, taasisi na mashirika mbalimbali kujitokeza na kutoa msaada kwa wahanga hao.

Comments

Popular posts from this blog

MAPINDUZI MAKUBWA UCHAGUZI WA MZFA YAFANYIKA MWENYEKITI APETA, KADUTU AUKWAA UWAKILISHI VILABU KWA ASILIMIA 100

Na ALBERT G. SENGO MWANZA MWENYEKITI wa Chama cha Mpira wa miguu Mkoa wa Mwanza(MZFA) Jackson Songora ametetea nafasi yake kwa miaka mingine   minne baada ya kuchaguliwa tena na wajumbe wapatao 17 kati ya 30 wa mkutano mkuu wa chama hicho Mkoani humo. Uchanguzi huo umefanyika jana katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza ambapo awali wagombea mbalimbali walijinadi kwa   wajumbe wa mkutano huo ili kuwashawishi kuweza kuwachagua katika nafasi walizomba ikiwemo ile ya Mwenyekiti, Makamu mwenyekiti, Katibu, Katibu msaidizi, Mweka Hazina na Mjumbe wa mkutano mkuu wa TFF, Mjumbe mwakilishi wa Vilabu na Mjumbe wa kamati ya udendaji.   Akitangaza matokeo hayo Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi huo Richard Mgabo (pichani aliyesimama) nafasi ya Mwenyekiti iliyokuwa na wagombea wawili ambapo   Jumbe Maghati na Jackison Songora walichuana vikali.. Hapa mwenyekiti wa uchaguzi huo anaweka mambo hadhalani..... Bofya play. Ikafuata nafasi ya Katibu mkuu ...

MBUNGE WA ILEMELA ABAINISHA UBABAISHAJI MKUBWA ULIOFANYWA UJENZI WA BARABARA MPYA YA BUZURUGA, PASIANSI, SANGA, KILOLELI.

  Mbunge wa wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza Highness Kiwia (wa kwanza kulia) akijionea uharibifu kwenye mitaro ya barabara  mpya iliyo katika zama zake za mwisho kuelekea kukabidhiwa kwa halmashauri, kupitia mvua iliyonyesha kwa muda mfupi tu hapa jijini kiasi cha mifereji hiyo kumomonyoka kama biskuti kuashiria ujenzi wa kiwango cha chini uliofanywa na mkandarasi husika. Aliyenyoosha kidole ni mbunge wa Ukerewe Salvatory Machemli aliyeambatana naye. Msikilize hapa chini.... Ni barabara ya Kilimahewa, Buzuruga, Pasiansi, Sanga, Kiloleli  nayo kabla ya kukabidhiwa dosari kubwa zimeanza kujitokeza. Ziara hii imekuja wakati kikao cha Bodi ya Barabara Mkoani Mwanza kilipokuwa kimeketi na kukaa na wadau wa Wizara ya Ujenzi pamoja na wakala wa ujenzi wa barabara mbalimbali mkoani Mwanza na kikao hicho kukwepa shauri la Mbunge wa ilemela la kuishauri kamati hiyo kufanya upya uthamini wa barabara hiyo kabla ya kukabidhiwa halmashauri. Kutitia kwa tabaka la ...

DRINKINGS SUPPLY FOR CEREMONIES AND SPECIAL FUNCTION