Mchezaji wa zamani wa Toto Africans ya Mwanza, Kagera Sugar ya Bukoba, Yanga SC, Azam FC na Simba za Dar es Salaam, na kiungo wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesaini mkataba wa miaka miwili na klabu ya Fanja ya Oman.
Ngassa anajiunga na wawakilishi hao wa Oman kwenye Ligi ya Mabingwa ya Asia, baada kama ya wiki tatu tangu avunje mkataba na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.
BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KUMUAGA MZEE MSUYA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
akitoa salaam na heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa Hayati Mzee
Cleopa...
BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KUMUAGA MZEE MSUYA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
akitoa salaam na heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa Hayati Mzee
Cleopa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.