ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 4, 2016

NANE NANE MWANZA ILIVYOKOLEA LEO.

Mkaa unaotokana na takataka (Mkaa mgandamizo)
Mkaa mgandamizo ni mchnganyiko maalum wa taka za majani, vumbi ya mbao au mkaa, pumba za mchele na aina nyinginezo za tungamotaka (Biomass). Mkaa mgandamizo unatumika kama nishati mbadala katika kukabiliana na uharibifu wa mazingira.

FAIDA ZA MKAA MGANDAMIZO.
Kwa kuwa mkaa mgandamizo hutenngenezwa kwa kugandamiza mchanganyiko wa nishati mbalimbali na/au tungamotaka unakuwa mgumu na uliogandamana hivyo unapowaka unatoa joto kali.

Unawaka taratibu na kwa muda mrefu kutokana na mchakato wa ugandamizaji.

Ubora wa hali ya juu. Mkaa mgandamizo ni zaidi ya asilimia 50 kwa ubora kulinganisha na kuni au mkaa wa kawaida. Una joto zaidi na unawaka muda mrefu zaidi.

Hauna kero ya moshi na ni salama zaidi. 

Hauna kero ya moshi na ni salama zaidi. Hauzalishi sumu hatarishi kama Sulphur au CO.

Malighafi kwa uzalishaji inapatikana kirahisi bila kuleta athari yoyote ya uharibifu wa mazingira.

Ni rahisi katika utunzajina usafirishaji.
Wadau kutoka maeneo mbalimbali wakiwa katika banda la Halmashauri ya jiji la Mwanza katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Nyamhongolo mkoani Mwanza.
Wananchi wakipata maelezo juu ya kilimo cha kisasa cha nyanya.
Kilimi cha kisasa cha Nyanya toka katwenye maonyesho ya Nane nane Mwanza.
Ufugaji wa Nyuki.
Kilimo cha mpunga.
Viazi vitamu.
Kilimo cha mbogamboga.
Add captionBustani za magorofani.
Ufugaji wa kuku wa kisasa.
Ufugaji kuku wa kisasa wenye tija.
Ujasiliamali kwa viwanda vidogo vidogo.

Ubuyu uliopakiwa kwenye vifungashio vyenye kwenda na wakati.
Pilau masala, unga wa soya na viungo vngine.
Mkulima akipata maelekezo toka kwa wadau wa banda la Ecostarter toka Buswelu wilayani Ilemela jijini Mwanza.
Bidhaa iko sokoni.
Viatu vya ngozi pure.
Dagaa waliokaangwa.
Dagaa ndani ya vifungashio.
Ukulima wa mahindi.
Banda la Meru Agro Tours
Wadau wa chuo cha uvuvi nNyegezi ambao vilevile wanatengeneza meli.
Banda la Wizara ya maliaasili na Utalii.
Wadau wa Mwanza #Hakunnaaa kujivunga!!
banda la ngawir
Wadau wa masuala ya Fedha Benki kuu Mwanza.
Kilimo cha kisasa zao la Nyanya.
Ufafanuzi na darasa kwa wananchi waliofika viwanja vya Nyamhongolo jijini Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.