ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 2, 2016

KAMA UNATAKA MAPENZI YASIKUUMIZE BASI HII HAPA SIRI.

Dr. Paul Nelson kutoka Mwanza Tanzania.
Kwa nini itokee kwangu? ... usiwe mjinga wewe mtoto, yani ujiuwe sababu gani mwanaume kwani ulizaliwa nae? Yaani pamoja na kumsomesha na kumgharamia maisha yote hii leo amenitosa? Ni moja kati ya kauli ambazo si ngeni toka kwa waachwao au kukutana na kimbunga cha mapenzi.

Nazo taarifa za watu kujiua kisa wivu wa mapenzi zimekuwa si ngeni tena huku zikijitokeza kila kukicha kwa kila taarifa 5 za kujiua basi 4 ni wivu wa mapenzi.

Kwanini watu uchukua maamuzi magumu ya kushangaza ambayo kadri siku zinavyosonga pamoja na elimu inayotolewa na wananchi mmoja mmoja na makatazo ya Serikali (kujichukulia sheria mkononi) lakini bado idadi ya wahanga wa kuumizwa na mapenzi inaongezeka .......Ushike wapi ili mapenzi yasikuumize? Jeh ni kipi cha kuthamii katika mapenzi? BOFYA PLAY KUMSIKILIZA 


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.