Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof. Ibrahimu Haruna Lipumba atengua maamuzi yake ya kujiuzulu katika chama hicho na kuamua kurejea tena. Mwanasiasa huyo mkongwe na mtaalamu wa uchumi amesema ameandika barua kwenye uongozi wa chama hicho ili arejeshwe kwenye nafasi yake aliyojiuzulu miezi kumi iliyo pita.
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyi...
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
0 comments:
Post a Comment