ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 28, 2016

YALIYOJIRI BUNGENI


Mhe.Shangazi aihoji serikali juu ya kurejesha silaha kwa wananchi waliopokonywa silaha wakati wa oparesheni tokomeza;  


Mhe.Mwita aitaka serikali kusimamia wakandarasi kuhakikisha wanajenga mifereji mikubwa katika barabara zote ili kuzuia mafuriko;  


Mhe.Kuchaukaa aihoji serikali juu ya utekelezaji wa sera ya ujenzi kama alivyoahidi rais Magufuli katika kampeni; 


Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa atoa ufafanuzi juu ya kukabiliana na balaa la njaa kwa wananchi wa Igunga waliokubwa na mafuriko. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.