Spika wa Bunge Job Ndugai asema umoja wa mabunge wa jumuiya ya madola kwa nchi za Afrika umetoa nafasi kwa maspika na wabunge wa nchi wananchama kujifunza mbinu mbalimbali za kuongoza mabunge katika kudumisha demokrasia na usimamizi wa serikali.
Upandaji Holela wa Mafuta
Serikali yatakiwa kudhibiti upandaji holela wa bei ya mafuta kwani uanaathiri watu wa kipato cha chini.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.