Spika wa Bunge Job Ndugai asema umoja wa mabunge wa jumuiya ya madola kwa nchi za Afrika umetoa nafasi kwa maspika na wabunge wa nchi wananchama kujifunza mbinu mbalimbali za kuongoza mabunge katika kudumisha demokrasia na usimamizi wa serikali.
Upandaji Holela wa Mafuta
Serikali yatakiwa kudhibiti upandaji holela wa bei ya mafuta kwani uanaathiri watu wa kipato cha chini.
Msizuie wanafunzi kufanya Mitihani - Dkt. Mwigulu
-
**Asema Serikali itaendelea kuongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu*
* WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za elimu nchini
kutowazuia wa...
0 comments:
Post a Comment