ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, March 6, 2016

MASPIKA WA MABUNGE EAC WAPEWASOMO.

Spika wa Bunge Job Ndugai asema umoja wa mabunge wa jumuiya ya madola kwa nchi za Afrika umetoa nafasi kwa maspika na wabunge wa nchi wananchama kujifunza mbinu mbalimbali za kuongoza mabunge katika kudumisha demokrasia na usimamizi wa serikali.


Upandaji Holela wa Mafuta


Serikali yatakiwa kudhibiti upandaji holela wa bei ya mafuta kwani uanaathiri watu wa kipato cha chini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.