Spika wa Bunge Job Ndugai asema umoja wa mabunge wa jumuiya ya madola kwa nchi za Afrika umetoa nafasi kwa maspika na wabunge wa nchi wananchama kujifunza mbinu mbalimbali za kuongoza mabunge katika kudumisha demokrasia na usimamizi wa serikali.
Upandaji Holela wa Mafuta
Serikali yatakiwa kudhibiti upandaji holela wa bei ya mafuta kwani uanaathiri watu wa kipato cha chini.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.