ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, January 19, 2016

TINGATINGA LIKISAWAZISHA BONDE LA MKWAJUNI YALIPOKUWA MAKAZI YA WATU CHINI YA ULINZI.

Mjumbe wa Serikali ya Mtaa, Mtaa wa Ananasifu,  Deogratias Mogela akizungumza na waandishi wa Habari (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Moja ya banda lililochomwa moto na kudaiwa  kuokolewa mtoto Braiton Emanueli (2) ambae mama yake Amina  Selemani humuacha hapo na kwenda kufanya biasha ya kupika uji 



 Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Muongozo Darasa la 6 Faiza Abdallah (11) akizungumza na mama yake ambapo hapo awali walikuwa katika Bonde hilo na sasa amehifadhiwa kwa ndugu Gongolamboto

 Baada ya Tingatinga kutinga eneo la Bonde la Mkwajuni, Mtoto Rozi akihamisha godoro










 Wananchi wakibomoa wenyewe banda lao baada ya kuliona tingatinga kufika katika Bonde la Mkwajuni kwa lengo la kusawazisha eneo hilo
 Mwananchi (kulia) anusurika kipigo toka kwa wananchi waliokuwa wakitoa vifaa vyao katika Bonde la Mkwajuni  alipotaka kuchukuwa chuma cha Tanesco
 Tingatinga likibomoa moja ya vibanda vilivyojengwa kujihifadhi kwa muda wakazi wa Bonde la Mkwajuni, Dar es Salaam ambao nyumba zao zilibomolewa hivi karibuni.




Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.