![]() |
| Taka hizo sasa zinarudi kwenye mifereji pembezoni mwa barabara....MMMMMMMmmmmm!!! |
![]() |
| Ni mwendo kufukia mitaro...Na kama ni zoezi la usafi tuanze moja. |
![]() |
| Hapo vije..?? |
![]() |
| Ni barabara ile ile ya Kilimahewa wilayani Ilemela mkoani Mwanza. |
![]() |
| Wadau husika hamuoni au mmeenda kunya chai? Nini tatizo? NAOMBA KUWASILISHA. |
Tupe maoni yako







0 comments:
Post a Comment