Mawaziri wa zamani Bazir Mramba, na Yona wapunguziwa adhabu ya kifungo kutoka miaka mitatu hadi miwili baada ya kukata rufaa. Mawaziri hao walipatikana na hatia ya kutumia madaraka vibaya na kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 11.5.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment