Mawaziri wa zamani Bazir Mramba, na Yona wapunguziwa adhabu ya kifungo kutoka miaka mitatu hadi miwili baada ya kukata rufaa. Mawaziri hao walipatikana na hatia ya kutumia madaraka vibaya na kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 11.5.
Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA
-
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia),
akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha...
Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA
-
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia),
akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha
ka...
0 comments:
Post a Comment