ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 10, 2015

PICHA ZA SEHEMU YA KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA LEO. 5 BORA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuuya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM, Mjini Dodoma. Kikao hiki kinapitia majina yote 38 ya Watangaza nia kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, ambapo majina matano yatapatikana baada ya kikao hiki. PICHA ZOTE NA MWANDISHI WA GSENGO BLOG - ZEPHANIA MANDIA, DODOMA 


Wazee wa Kamati ya Ushauri ya CCM ikiongozwa na Rais Mstaafu awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu awamu ya tatu, Mh. Benjamin Mkapa, Makamu Mstaafu  wa CCM, Mzee Pius Msekwa pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Cleopa Msuya.









Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.