![]() |
| Shehemu ya jengo la wodi ya wazazi na utabibu kama linavyoonekana. |
![]() |
| Sehemu ya wananchi wa Utegi waliofika kushuhudia Mwenge wa Uhuru lipofika katika Kituo cha Afya Utegi kuweka jiwe la msingi jengo la wodi wa watoto . |
![]() |
| Mkuu wa Polisi Wilaya ya Rorya (OCD) kulia na kushoto ni Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (RCO) Kanda Maalumu ya Tarime Rorya wakiwa timamu kikazi. |
![]() |
| Mwonekano wa nje wa Kituo cha Ugani cha kuratibu na Uhifadhi chakula Wilaya ya Rorya kilichojengwa na Halmashauri ya Rorya. |
![]() |
| Ndani ya Ofisi za jengo la Ugani na kuratibu Hifadhi ya chakula katika Wilaya ya Rorya ililozinduliwa wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru hivi karibuni. |
Tupe maoni yako









0 comments:
Post a Comment