![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza na mamia ya wahudhuriaji wa uzinduzi wa Pepsi Kombe la Meya uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza, mwishoni mwa wiki. |
![]() |
| Kabla ya uzinduzi timu 22 washiriki wa mashindano hayo zilifanya paredi la utambulisho. |
![]() |
| Hiki ni kiatu cha dhahabu ambacho atakitwaa mfungaji bora wa Pepsi Kombe la Meya ikiwa ni sambamba na kitita cha shilingi laki mbili. |
![]() |
| Sasa ni zamu kwa timu ya Igoma Fc. |
![]() |
| Mhe. Mama Hewa akisalimiana na timu ya Wanahabari, anayefuata ni diwani wa kata ya Nyamagana Bhiku Kotecha. |
![]() |
| "Michezo ni furaha...tehe....teh!!!!!" |
![]() |
| Isamilo Fc katika picha ya pamoja kabla ya kutinga dimbani kupambana na Mkolani Fc. |
![]() |
| Mkolani Fc. |
![]() |
| Katika mchezo huo Mkolani Fc waliibuka kidedea kwa kuibamiza Isamilo Fc bao 3-1. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza na mamia ya wahudhuriaji wa uzinduzi wa Pepsi Kombe la Meya uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza. |
![]() |
| Patashika langoni mwa Mkolani Fc. |
![]() |
| Umakini wa mashabiki michuano ya Pepsi Kombe la Meya 2014. |
![]() |
| Baada ya mchezo kumalizika Balozi wa Pepsi kwa wasanii Kala Jeremiah alipiga show. |
![]() |
| Kala Jeremiah na hisia zake. |
![]() |
| Wow... |
![]() |
| Muda wa kuwapa tano mashabiki. |
![]() |
| Kala Jeremiah akimtambulisha kaka yake katika game ya muziki wa kizazi kipya H. Baba. |
Tupe maoni yako



















0 comments:
Post a Comment