![]() |
| Ndege ya shirika la Malaysian ikiwa na abiria 295 imeanguka Mashariki mwa Ukraine ikiwa safarini kutoka Amsterdam hadi Kuala Lumpur kukiwa na madai kwamba ilidunguliwa. |
![]() |
| Mabaki ya ndege hiyo ya shirika la Malaysian iliyoanguka na kuuwa abiria 295 . |
![]() |
| Miili ya watu imetapakaa kila upande katika kile kinachoaminika kuwa masalia ya ndege hiyo ya muundo wa jet karibu na kijiji cha Grabovo, kinachodhibitiwa na waasi wanaotaka kujitenga,. |
![]() |
| Ndege hiyo nambari MH17 ilikua inakaribia kuingia anga ya Urusi mawasiliano yalipokatizwa. |
![]() |
| Passport zimebaki kama kumbukumbu na vielelezo vya abiria waliofariki dunia kwenye ajali hiyo. |
![]() |
| Miili ya wahanga wa ndege hiyo, mizigo pamoja na mabaki ya ndege hiyo imetawanyika eneo la ajali. |
![]() |
| Anga ya Ukraine haikufungwa rasmi lakini mashirika ya ndege ya Ujerumani, Lufthansa, Air France ya Ufaransa na Uturuki,yanaliepuka eneo la Ukraine Mashariki. |
Tupe maoni yako








0 comments:
Post a Comment