ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, June 9, 2014

PICHA ZA HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO.

Kuwasili kwa bwana harusi katika viwanja vya kanisa la Kilinga maarufu kama kwa mchungaji Babu, Meru mkoani Arusha.  
Wageni mbalimbali waliwasili kwenye tukio akiwemo Naibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndungai (katikati).
Wenyeji harusini akiwemo Baba mzazi wa Joshua Mzee Samweli Nassari walikuwa katika mavazi nadhifu kwaajili ya kuwalaki wageni waliohudhuria hafla hiyo.
Hatimaye bwana harusi alikuwa tayari kanisani akiwa na wapambe wake na hapa akimngojea bi harusi.
Bwana akimvalisha Bibi harusi pete ya ndoa.
Bibi akimvalisha Bwana harusi pete ya ndoa.
Si wawili tena bali ni mwili mmoja.
Ibada maalum.
Wanameremeta.....
Gavana wa kwanza nchini Tanzania Mzee Edwin Mtei pia walikuwepo katika ibada hiyo.
Baba na mama Nassari.
Cheti cha ndoa.
Ibada ya ndoa ilifikia tamati na sasa ukawa wakati wa kuelekea katika hafla maalum kwa ndugu jamaa na marafiki kusherehekea. PICHA ZOTE KWA HISANI YA KAJUNA SON.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.