Alfajiri hii ajali imetokea ikikusisha magari matano katika eneo la Miseyu baada ya Mikese kuelekea mpakani mwa Pwani na Morogoro. Chanzo cha ajali hiyo kinatajwa kuwa ni dereva wa roli la Nyanya aliyekuwa mbele kusinzia huku akiendesha gari.
Magari matano kwa pamoja yakiwa kwenye msafara mrefu wa malori yamekumbwa na ajali hiyo baada ya kutokea kasoro kwa moja ya magari hayo. Trafiki takriban sita wako eneo la tukio uchunguzi unaendelea kung'amua makosa zaidi yaliyo sababisha ajali hiyo.
Ni magari yenye bidhaa mbalimbali tofauti tofauti.
Washindi Tuzo ya Mwalimu Nyerere 2026 Watangazwa
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Washindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kwa mwaka
2026 wametangazwa rasmi katika hafla iliyo...
0 comments:
Post a Comment