Alfajiri hii ajali imetokea ikikusisha magari matano katika eneo la Miseyu baada ya Mikese kuelekea mpakani mwa Pwani na Morogoro. Chanzo cha ajali hiyo kinatajwa kuwa ni dereva wa roli la Nyanya aliyekuwa mbele kusinzia huku akiendesha gari.
Magari matano kwa pamoja yakiwa kwenye msafara mrefu wa malori yamekumbwa na ajali hiyo baada ya kutokea kasoro kwa moja ya magari hayo. Trafiki takriban sita wako eneo la tukio uchunguzi unaendelea kung'amua makosa zaidi yaliyo sababisha ajali hiyo.
Ni magari yenye bidhaa mbalimbali tofauti tofauti.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.