Alfajiri hii ajali imetokea ikikusisha magari matano katika eneo la Miseyu baada ya Mikese kuelekea mpakani mwa Pwani na Morogoro. Chanzo cha ajali hiyo kinatajwa kuwa ni dereva wa roli la Nyanya aliyekuwa mbele kusinzia huku akiendesha gari.
Magari matano kwa pamoja yakiwa kwenye msafara mrefu wa malori yamekumbwa na ajali hiyo baada ya kutokea kasoro kwa moja ya magari hayo. Trafiki takriban sita wako eneo la tukio uchunguzi unaendelea kung'amua makosa zaidi yaliyo sababisha ajali hiyo.
Ni magari yenye bidhaa mbalimbali tofauti tofauti.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.