KAMANDA wa Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza Valentino Mlowola akizungumza na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari jijini hapa (hawapo pichani), kuelezea jinsi jeshi lake lilivyo jipanga kuhakikisha suala la ulinzi
na usalama linazingatiwa na kuimarishwa katika kipindi chote cha sherehe za sikukuu ya
Pasaka mkoa wa Mwanza. Pia Kamanda Mlowola alitumia fursa hiyo kuwaasa wananchi kwa kutoa ushirikiano. (BOFYA PLAY KUMSIKILIZA)
CG MWENDA ABAINI UKWEPAJI KODI MKUBWA VIWANDANI
-
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda
leo tarehe 17.05.2025 amefanya ziara ya kushitukiza kwenye baadhi ya
Viwanda vi...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.