![]() |
| Babu wa Maisha Plus naye alichagiza kuusu umuhimu wa shindano hilo ambalo msimu huu linakuja likiwa limenogeshwa zaidi huku zawadi zikiboreshwa na kuongezwa hadi kufikia milioni 25. |
![]() |
| Meza kuu na wadau akiwemo Mkurugenzi wa Shirika la Kivulini (wa pili toka kushoto) |
![]() |
| Meza kuu ikinadi umuhimu wa tukio zima. |
![]() |
| "Nitafurahi sana kuona akinamama mnachangamkia fursa hii ambayo licha ya zawadi kuna elimu kubwa ya ujasiliamali ndani yake ambayo mtaipata" says Rahab toka Kivulini Mwanza. |
![]() |
| Kwa utulivu wakisikiliza yanayojiri ni akinamama wa Mwanza na wadau wengine pichani katika viwanja hivi vya Buhongwa. |
![]() |
| Sekta ya habari nayo ilihudhuria tukio hili lenye lengo la kuinyanyua jamii toka anguko la lindi la umasikini. |
![]() |
| Ngoma toka Bujora ilisherehesha. |
![]() |
| Jamaa alikataa kata kata kuvishwa nyoka begani licha ya kichwa cha nyoka huyo kushikwa barabara na wacheza ngoma wa Bujora. |
![]() |
| Dj Ben hakuwa tayari kumweka beganinyoka huyo..... |
![]() |
| 'Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe' |
![]() |
| Babu wa Maisha plus alishiriki vyema kuhakikisha kila mdau mwenye sifa anapata fomu yake na kuijaza. |
![]() |
| "Mie tayari wewe jeh?" says Masai ya Mwanza. |
![]() |
| Mtangazaji wa ITV Mwanza Mabere Makubi akihitimisha taarifa yake kupeleka ujumbe kwa walioko majumbani. |
Tupe maoni yako


















0 comments:
Post a Comment