ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 13, 2013

TAMASHA KUBWA LA UJASILIAMALI LINALO DHAMINIWA NA TIGO LAANZA LEO JIJINI MWANZA

Mtoa mada wa Tamasha la Ujasiliamali James Mwang'amba akiwasilisha mada katika siku ya kwanza ya Tamasha hilo leo, ambapo litafanyika tena kesho (jumamosi) kisha kumalizika siku ya Jumapili chini ya udhamini wa TIGO, Benki ya NMB na Street University.   
Mtoa mada wa Tamasha la Ujasiliamali James Mwang'amba akiwasilisha mada katika siku ya kwanza ya Tamasha hilo leo, ambapo litafanyika tena kesho (jumamosi) kisha kumalizika siku ya Jumapili.  
Tamasha hili lililodhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Benki ya NMB na Street University, limeandaliwa kuwawezesha vijana na wakazi wa Jiji la Mwanza kutambua mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Watoa mada wengine ambao wataonekana tena kesho na keshokutwa viwanjani hapa ni pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo, Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji) na Mbunge wa Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’.


Akizungumza na Umma wa wana Mwanza, Mc wa Tamasha la Ujasiliamali linalofanyika kwa siku tatu kuanzia leo Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza na kutarajiwa kuhitimishwa siku ya Jumapili ya tarehe 15 Dec 2013 chini ya udhamini wa TIGO, Benki ya NMB na Street University.   


Kwa upande wa burudani leo tume koshwa kiroho zaidi na kwaya mbalimbali za jijini Mwanza pamoja na msanii wa muziki wa Injili Edson Mwasabwite (PICHANI) 
Siku ya Jumapili burudani itang'arishwa zaidi na wasanii Fid Q, H. Baba, Young Killer, Jitta Man na Mr. Two aka Sugu. Pia kutakuwa na wasanii wa muziki wa Injili ambao ni Martha Mwaipaja atakayeimba sambamba na Masanja Makandamizaji na Edson Mwasabwite.
Edson Mwasabwite.
Mzikilize  James Mwang'amba ambaye ni mtoa mada wa Tamasha la Ujasiliamali akizungumza na waandishi wa habari. BOFYA PLAY.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.