![]() |
| Safu ya meza kuu ikiongozwa na Mkurugenzi wa Alliance School James Bwire (kulia waliovaa majoho) na mgeni rasmi ambaye ni Afisa ugavi wa mkoa wa Mwanza Patrick Kigire. |
![]() |
| Safu ya meza kuu. |
![]() |
| Jumla ya wanafunzi ....wamehitimu kidato cha nne kwa mwaka huu 2013. |
![]() |
| Safu nyingine ya wahitimu. |
![]() |
| Safu ya meza kuu ikiwakaribisha wahitimu kwenye kusanyiko la Maafali viwanja vya Alliance Mwanza. |
![]() |
| Hongera wa kwanza wa kidato cha nne wahitimu. |
![]() |
| Burudani iliyotia fora toka kwa wanafunzi. |
![]() |
| Kwata la burudani.... |
![]() |
| Wahitimu wa kidato cha nne Alliance wasichana wakielekeza macho kwenye tukio. |
Tupe maoni yako












0 comments:
Post a Comment