| Hii ni sehemu moja wapo ya ufukwe wa bahari katika eneo la wilaya ya Pangani mjini katika eneo la makutano ya mto Pangani na bahari ya Hindi. |
| Hali ya mazingira inatatanisha, mti mmoja baada ya mwingine unapuputika kuukaribisha ukame nayo bahari kukosa ulinzi. |
| Kwa kukosa miti ardhi inatafunwa (inamomonyoka) na kupoteza rutuba yake. |
| Wana AKUMAKI wana karibisha makampuni mbalimbali yenye malengo ya kurejesha faida kwa jamii katika kufadhiliwa miti nao wakiwatayari kufanya zoezi hilo kwa kujitolea. |
| Mazingira na yatunzwe. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment