Msanii na Producer wa muziki wa
Bongo Fleva na Reggae Mack Malik
Simba (Mack 2B) amefariki dunia.
Kaka wa marehemu Msafiri
Masharubu amesema kuwa alikuwa
akisumbuliwa na tatizo la kuvimba Kwa miguu na amefia nyumbani kwao
Yombo.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU
MAHALI PEMA PEPONI, AMEN!
Afya: Faida za muhogo kiafya
-
ules Kouassi, Daktari wa Afya ya Umma na mtaalamu wa lishe, kutoka Ivory
Coast, anasema muhogo ni chakula muhimu, kwa sababu unaweza kuliwa na kila
mtu na ...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.