Msanii na Producer wa muziki wa
Bongo Fleva na Reggae Mack Malik
Simba (Mack 2B) amefariki dunia.
Kaka wa marehemu Msafiri
Masharubu amesema kuwa alikuwa
akisumbuliwa na tatizo la kuvimba Kwa miguu na amefia nyumbani kwao
Yombo.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU
MAHALI PEMA PEPONI, AMEN!
MUHAS YAADHIMISHA WIKI YA UBUNIFU
-
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu Idara inayohusu Sayansi na Teknolojia
imetengeneza mwongozo wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Taasisi zake
za E...
MUHAS YAADHIMISHA WIKI YA UBUNIFU
-
Mkurugenzi wa Elimu ya Juu kutoka Wizara ya Elimu, Profesa Peter Msofe,
akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Ubunifu ya Chuo Kikuu cha
Afya na S...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.