![]() |
| Zana za kale katika uwindaji na ulinzi. |
![]() |
| Vitanda na mlango wa nyumba za kale za watu kabila la wakerewe. |
![]() |
| Ni vitanda vya aina mbili cha kwanza cha kamba za kusuka na cha pili kitanda cha ngozi. |
![]() |
| Mtumbwi wa kutengenezea pombe za asili ya watu wakikerewe, pombe ya ndizi inayojulikana kama Empaye kwa kikerewe na kwa kihaya ni Lubisi. |
![]() |
| Malimba ni chombo cha muziki. |
![]() |
| Lubigo ni mtego wa kutegea samaki majini kwa watu wa kale kabila la wakerewe. |
![]() |
| Ndivyo mtungi wa kuhifadhia maji ulivyokuwa ukihifadhiwa ingawa kuna baadhi ya watu hadi sasa wanatumia teknolojia hii. |
![]() |
| Ngozi safi ya mnyama iliyoanikwa. |
![]() |
| Vyombo vya nyumbani. |
![]() |
| Viti vya wazee na wakuu wa kaya kwaajili yakupumzikia. |
![]() |
| Embezo ni kifaa kilichotumia kuchongea miko ya kupikia na mipini ya majembe. |
![]() |
| Maonesho ya jikola kuni. |
![]() |
| Majembe ya kale yalichongwa hivi. |
Tupe maoni yako













0 comments:
Post a Comment