| Meneja wa tawi la FBME Bank Mwanza Ndugu Joseph Gwalugano (kulia) akimkabidhi Imam Abeid Musa Mafuta ya kupikia kwenye hafla fupi iliyofanyika katika msikiti wa Al Masjid Ibrahim Butimba Mwanza. |
| Jumanne Hassan mfanyakazi wa benki ya FBME Mwanza akimkabidhi mtoto Abdalla, katoni ya amaji ya kunywa |
| Mfanyakazi wa FBME Bank Mwanza Lena Gahanga (wa pili toka kushoto) akimkabidhi mbuzi mtoto Salima Hamad. |
| Wafanyakazi wa FBME Bank - Tawi la Mwanza wakiwakabidhi vitu mbalimbali watoto yatima katika msikiti wa Al Masjid Ibrahim - Butimba ikiwa ni maalum kwaajili ya kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri |
| Meneja wa Tawi la benk ya FBME Mwanza akifafanua jambo wakati wa hafla fupi iliyofanyika katika msikiti wa Al Masjid Ibrahim Butimba huku wafanyakazi wenzake wakimsikiliza |
| Mfanyakazi wa benki ya FBME Mwanza Mazigo Musiba akimkabidhi Mbuzi mtoto Fatma Fereji kama ishara ya kuwatakia kheri watoto hao na sikukuu ya Eid El Fitri. |
| Wafanyakazi wa Bank ya FBME tawi la Mwanza wakifurahia jambo baada ya kukabidhi vyakula kwa watoto yatima waliopo msikiti wa Al Masjid Ibrahim Butimba Mwanza |
| Wafanyakazi wa benki ya FBME tawi la mwanza wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto yatima viongozi wa msikiti Al Masjid Ibrahim - Butima Mwanza. |
| Wafanyakazi wa Benki ya FBME wakifuatilia tukio, kuanzia kulia ni Lena Gahanga, Rehema Mbalike, Jumanne Hassan, Mazigo Musiba na Peter Nkenguye - Mwan Nzengo |
| Watoto wa msikiti wa Al Masjid Ibrahim wakitafakari. |
Blogu hii inatoa pongezi kwa Benki ya FBME kwa utaratibu huu unaofanyika kila mwaka kwa watoto wetu waishio mazingira magumu.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment