ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 4, 2013

PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA MKUTANO WA 10 WA WADAU WA SEKTA NDOGO YA ZAO LA PAMBA

Waziri mkuu Mizengo Pinda (katikati), wengine kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba Dr. Festus Limbu (MB), Naibu waziri wa Chakula na Ushirika Adam Malima (MB) na wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Dkt. Antony Dialo, Kaimu mkuu wa mkoa Baraka Konisaga (DC Nyamagana). Nyuma ni kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza.

Mmoja wa wanachama wa TACOGA ambaye ni mkulima wa zao la pamba akichangia hoja.

Mbunge wa jimbo la Bariadi Magharibi Mhe. John Cheyo akichangia hoja katika kikao hicho kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha benki kuu (BOT) Capripoint jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa TCA na Mnunuzi wa Pamba Christopher Mwita Gachuma (MNEC - Tarime) akiwa na wajumbe wengine.

Sehemu ya wajumbe kwenye mkutano huo.

Wajumbe mkutanoni hapa.

Mbunge wa jimbo la Maswa Magharibi Mhe. John Magale Shibuda akichukua nondo zilizokuwa zikitolewa na wadau wa pamba ndani ya mkutano huo.

Baadhi ya wakuu wa wilaya nao walikuwa ni sehemu ya wajumbe wa mkutano huu.

Kutoka kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Simiyu Paschal Mabiti, Joel Mkaya Bendera (Morogoro), na wengine wakifuatilia hotuba ya ufunguzi ya waziri mkuu.

Picha ya pamoja waziri mkuu Mizengo Pinda (katikati) na kushoto kwa waziri mkuu ni Naibu waziri wa wizara ya Chakula na ushirika Adam Malima (MB), waziri wa Nchi utumishi Celina Kombani (MB) na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu Kassim Majaliwa. Kulia kwa Waziri mkuu ni Kaimu mkuu wa mkoa wa Mwanza Baraka Konisaga (DC Nyamagana), Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba nchini Dr. Festus Limbu (MB) na Naibu waziri wa wizara ya Uchukuzi Dr. Charles Tizeba (MB)  wakiwa na wakuu wa Mikoa na Wilaya kutoka mikoa 15 inayolima zao la pamba nchini.

Picha ya pamoja waziri mkuu Mizengo Pinda (katikati) na kushoto kwa waziri mkuu ni Naibu waziri wa wizara ya Chakula na ushirika Adam Malima (MB), waziri wa Nchi utumishi Celina Kombani (MB) na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu Kassim Majaliwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Dkt. Anthony Dialo. Kulia kwa Waziri mkuu ni Kaimu mkuu wa mkoa wa Mwanza Baraka Konisaga (DC Nyamagana), Mwenyekiti wa Bod ni ya Pamba nchini Dr. Festus Limbu (MB) na Naibu waziri wa wizara ya Uchukuzi Dr. Charles Tizeba (MB)  wakiwa na Wabunge na Wenyeviti wa Halmashauri. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.