![]() |
| Mmoja wa wanachama wa TACOGA ambaye ni mkulima wa zao la pamba akichangia hoja. |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Bariadi Magharibi Mhe. John Cheyo akichangia hoja katika kikao hicho kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha benki kuu (BOT) Capripoint jijini Mwanza. |
![]() |
| Mwenyekiti wa TCA na Mnunuzi wa Pamba Christopher Mwita Gachuma (MNEC - Tarime) akiwa na wajumbe wengine. |
![]() |
| Sehemu ya wajumbe kwenye mkutano huo. |
![]() |
| Wajumbe mkutanoni hapa. |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Maswa Magharibi Mhe. John Magale Shibuda akichukua nondo zilizokuwa zikitolewa na wadau wa pamba ndani ya mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya wakuu wa wilaya nao walikuwa ni sehemu ya wajumbe wa mkutano huu. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Simiyu Paschal Mabiti, Joel Mkaya Bendera (Morogoro), na wengine wakifuatilia hotuba ya ufunguzi ya waziri mkuu. |
Tupe maoni yako











0 comments:
Post a Comment